Smarter
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 527
- 110
Sharing is Caring Wandugu,
1. Naomba uelekezi juu ya kuandaa minutes za Uamuzi wa Ma-directors juu ya kufungua Bank Account. Alie na templete anaweza kunisaidia ili
nijue standard format.
2. Na pia nahitaji msaada kwa Maelekezo ya Hatua muhimu zinazotakiwa kufuatwa baada ya Kampuni kusajiliwa Brella, Kampuni inajishughulisha
na Kilimo. Je, nitahitaji leseni (mazao kwa sasa yatauzwa kwenye masoko ya ndani Tanzania); As naelezwa mazao hayana kodi kuna Je, nitahitaji
kuwaona TRA kwa namna yeyote?
3. Tafadhalini naombeni msaada.
1. Naomba uelekezi juu ya kuandaa minutes za Uamuzi wa Ma-directors juu ya kufungua Bank Account. Alie na templete anaweza kunisaidia ili
nijue standard format.
2. Na pia nahitaji msaada kwa Maelekezo ya Hatua muhimu zinazotakiwa kufuatwa baada ya Kampuni kusajiliwa Brella, Kampuni inajishughulisha
na Kilimo. Je, nitahitaji leseni (mazao kwa sasa yatauzwa kwenye masoko ya ndani Tanzania); As naelezwa mazao hayana kodi kuna Je, nitahitaji
kuwaona TRA kwa namna yeyote?
3. Tafadhalini naombeni msaada.