Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Wakuu wa Jukwaa hili Wasalaam Aleykhum!
Kuna ofisi ya Mkulu moja ambaye anapenda Ku-Impliment Electronic Document & Records Management System.
Matarajio yake ni:
Kwa sasa anayo mafaili mengi saana.
Msaada ninaohitaji ni:
Wasalaam
Superman.
Kuna ofisi ya Mkulu moja ambaye anapenda Ku-Impliment Electronic Document & Records Management System.
Matarajio yake ni:
- Kuwa na Paper less Office
- Kuhifadhi physical files (hard copies files) into soft copies
- Kupata kumbukumbu yoyote ya zamani kwa njia rahisi
- nk.
Kwa sasa anayo mafaili mengi saana.
Msaada ninaohitaji ni:
- Je kuna mwenye ufahamu ni nini kinatakiwa kifanyike?
- Ni hardware au software gani zinatakiwa?
- Je kwa Tanzania kuna organization yeyote imewahi kufanya implementation? (Reference Sites)
- Je, ni nani ambaye anaweza kuifanya kazi hii Tanzania na kwa gharama gani?
- Naweza kupata contacts zake?
Wasalaam
Superman.