Msaada: Unborn wangu anacheza kidogo sana

leop

JF-Expert Member
Dec 29, 2013
550
522
Habari za muda huu wakuu, naomba mnisaidie.

Mimi ni mama mjamzito kwa umri wa 22 weeks. Sasa, ndani ya siku tatu hizi mtoto wangu anacheza kidogo sana na kwa mapozi. Yaani mpaka kiamue chenyewe.

Nisaidieni, hii inaweza kuwa ni tatizo au ni kawaida? Sina uzoefu sana sababu ni mimba ya kwanza.

Natanguliza shukrani
 
Mpaka amefika umri huo utakuwa unafahamu vitu anavyopenda vinavyompa msisimko.

1. Chakula:
Kuna vyakula mtoto anapenda ukila tu na yeye anacheza tumboni.

Mziki.
Watoto husikia wakuwa tumboni inawezekana mtoto kuanza kupenda nyimbo za Diamond kabla hazaliwa akizisikia anaselebula.

Sauti yako.
Tupende kuongea na watoto wakiwa tumboni huwa watusikia. Unamwbia tu mama anataka kukusikia cheza basi kidogo.

Muone gynaecologist kwa ushauri zaidi.
 
Mpaka amefika umri huo utakuwa unafahamu vitu anavyopenda vinavyompa msisimko.

1. Chakula:
Kuna vyakula mtoto anapenda ukila tu na yeye anacheza tumboni.

Mziki.
Watoto husikia wakuwa tumboni inawezekana mtoto kuanza kupenda nyimbo za Diamond kabla hazaliwa akizisikia anaselebula.

Sauti yako.
Tupende kuongea na watoto wakiwa tumboni huwa watusikia. Unamwamnia tu mama anataka kukusikia cheza basi kidogo.

Muone gynaecologist kwa ushauri zaidi.
Kwenye favourites Hapo bado sijajua Ila Hali ikizid jtatu naenda hosp
 
Mpaka amefika umri huo utakuwa unafahamu vitu anavyopenda vinavyompa msisimko.

1. Chakula:
Kuna vyakula mtoto anapenda ukila tu na yeye anacheza tumboni.

Mziki.
Watoto husikia wakuwa tumboni inawezekana mtoto kuanza kupenda nyimbo za Diamond kabla hazaliwa akizisikia anaselebula.

Sauti yako.
Tupende kuongea na watoto wakiwa tumboni huwa watusikia. Unamwamnia tu mama anataka kukusikia cheza basi kidogo.

Muone gynaecologist kwa ushauri zaidi.

Mleta mada soma ushauri huo...


Cc: mahondaw
 
Habari za muda huu wakuu, naomba mnisaidie

Mimi ni mama mjamzito kwa umri wa 22weeks

Sasa, ndani ya siku tatu hizi mtoto wangu anacheza kidogo sana na kwa mapozi. Yaani mpaka kiamue chenyewe.

Nisaidieni, hii inaweza kuwa ni tatizo au ni kawaida? Sina uzoefu sana sababu ni mimba ya kwanza.

Natanguliza shukrani
Mtoto anatakiwa kucheza mara 6 -10 ndani ya saa (1hr) ile miezi 3 ya mwisho,na ile miezi 6 ya mwanzo kucheza kwake sio sana. Kipindi cha usiku ndio muda wa mtoto kupigapiga tumbo la mamaye kuliko mchana, hii ni baada ya mama kula.

Hizi ni baadhi ya sababu zinazompelekea mtoto kuto kucheza-:

(i)Kukosa nguvu za kutosha kutokana na lishe duni ya mama yake.

(ii)Mtoto hapati hewa ya kutosha kutoka kwenye placenta.

(iii) Mama anapotembea sana au kusimama kwa muda mrefu,kuna mfanya mtoto analale na kumfanya asicheze.

(iv)
Mama anapokuwa na maradhi au matatizo ya kiafya, hudhoofisha afya ya mtoto na kukosa nguvu.

Ninj kifanyike ili mtoto acheze kama mwanzo !! Upo mkoa gani dada yangu
 

Attachments

  • FB_IMG_1575553459484.jpeg
    FB_IMG_1575553459484.jpeg
    23.5 KB · Views: 5
Mtoto anatakiwa kucheza mara 6 -10 ndani ya saa (1hr) ile miezi 3 ya mwisho,na ile miezi 6 ya mwanzo kucheza kwake sio sana. Kipindi cha usiku ndio muda wa mtoto kupigapiga tumbo la mamaye kuliko mchana, hii ni baada ya mama kula.

Hizi ni baadhi ya sababu zinazompelekea mtoto kuto kucheza-:

(i)Kukosa nguvu za kutosha kutokana na lishe duni ya mama yake.

(ii)Mtoto hapati hewa ya kutosha kutoka kwenye placenta.

(iii) Mama anapotembea sana au kusimama kwa muda mrefu,kuna mfanya mtoto analale na kumfanya asicheze.

(iv)
Mama anapokuwa na maradhi au matatizo ya kiafya, hudhoofisha afya ya mtoto na kukosa nguvu.

Ninj kifanyike ili mtoto acheze kama mwanzo !! Upo mkoa gani dada yangu

View attachment 1284820
KWA SASA FANYA YAFATAYO UKIONA HALI BADO WAHI HOSPITAL MAPEMA KAMA UPO ARUSHA TUPO KAMBI MADAKTARI BINGWA TUNAMALIZA KAMBI JTANO ,

Hizi ndiyo njia zitakazo mfanya mtoto acheze tumboni:-

1. Mama anapohisi mtoto yupo kimya anaweza
2. Kunywa maji ya baridi.
2. Kunywa juice – Juice ni kumiminika lichokuwa na maji
3. Kunywa maji baridi sana pia lala ubavu wa kushoto
4.Nyoosha miguu juu ya kitu- Fanya hivyo ukiwa umekaa chini.
 
Mpaka amefika umri huo utakuwa unafahamu vitu anavyopenda vinavyompa msisimko.

1. Chakula:
Kuna vyakula mtoto anapenda ukila tu na yeye anacheza tumboni.

Mziki.
Watoto husikia wakuwa tumboni inawezekana mtoto kuanza kupenda nyimbo za Diamond kabla hazaliwa akizisikia anaselebula.

Sauti yako.
Tupende kuongea na watoto wakiwa tumboni huwa watusikia. Unamwbia tu mama anataka kukusikia cheza basi kidogo.

Muone gynaecologist kwa ushauri zaidi.
Duh! Sikuwa nayajua haya.. ahsante
 
Mtoto anatakiwa kucheza mara 6 -10 ndani ya saa (1hr) ile miezi 3 ya mwisho,na ile miezi 6 ya mwanzo kucheza kwake sio sana. Kipindi cha usiku ndio muda wa mtoto kupigapiga tumbo la mamaye kuliko mchana, hii ni baada ya mama kula.

Hizi ni baadhi ya sababu zinazompelekea mtoto kuto kucheza-:

(i)Kukosa nguvu za kutosha kutokana na lishe duni ya mama yake.

(ii)Mtoto hapati hewa ya kutosha kutoka kwenye placenta.

(iii) Mama anapotembea sana au kusimama kwa muda mrefu,kuna mfanya mtoto analale na kumfanya asicheze.

(iv)
Mama anapokuwa na maradhi au matatizo ya kiafya, hudhoofisha afya ya mtoto na kukosa nguvu.

Ninj kifanyike ili mtoto acheze kama mwanzo !! Upo mkoa gani dada yangu

View attachment 1284820
KWA SASA FANYA YAFATAYO UKIONA HALI BADO WAHI HOSPITAL MAPEMA KAMA UPO ARUSHA TUPO KAMBI MADAKTARI BINGWA TUNAMALIZA KAMBI JTANO ,

Hizi ndiyo njia zitakazo mfanya mtoto acheze tumboni:-

1. Mama anapohisi mtoto yupo kimya anaweza
2. Kunywa maji ya baridi.
2. Kunywa juice – Juice ni kumiminika lichokuwa na maji
3. Kunywa maji baridi sana pia lala ubavu wa kushoto
4.Nyoosha miguu juu ya kitu- Fanya hivyo ukiwa umekaa chini.
Nimepata kitu ahsante
 
Back
Top Bottom