Siku ya jana nimeamka na kukutannina vipele kwenye mapaja na hata sijui vimetokana na nini nimejaribu kuwaza labda ni matokeo ya medisoft repellent lakini nimepaka kwenye mapaja mara mbili tu na ni siku kama tano zimepita.
Vipele vinawasha kweli kweli kwa mtu anayeweza akasuggest dawa anisaidie katika hili.
View attachment 2798612View attachment 2798616
Vipele vinawasha kweli kweli kwa mtu anayeweza akasuggest dawa anisaidie katika hili.
View attachment 2798612View attachment 2798616