nellwan
JF-Expert Member
- Mar 17, 2016
- 378
- 682
Habari JF doctors.
Mwezi uliopita tarehe 28 nilichoma sindano ya uzazi wa mpango kwa mara ya kwanza.Kinachonishangaza huwa naenda bleed kwa siku 4 ila mwezi huu nimeanzaa kubleed tarehe 13 mpaka leo bado nina bleed.
Nimeshindwa kuelewa sababu ni sindano niliyochoma au tatizo ni nini?
Naomba msaada dawa nitakayotumia kukata bleed.
Nawasilisha.
Mwezi uliopita tarehe 28 nilichoma sindano ya uzazi wa mpango kwa mara ya kwanza.Kinachonishangaza huwa naenda bleed kwa siku 4 ila mwezi huu nimeanzaa kubleed tarehe 13 mpaka leo bado nina bleed.
Nimeshindwa kuelewa sababu ni sindano niliyochoma au tatizo ni nini?
Naomba msaada dawa nitakayotumia kukata bleed.
Nawasilisha.