Msaada, dawa ya kuachana na mapenzi


Pia mwambie asiwe na matarajio mengi kwenye mapenzi siku za mwanzoni,coz anaonekana anaweka nguvu zake zote kwenye mapenzi. Muda ndo unafaa kuamua wether mtu ni sahihi au la!..ukiamua kwa kuangalia jinsi anavyokufanyia ni rahisi kufanya maamuzi yasiyo sahihi coz wanaume huwa tuna igiza sana ili tumpate mdada then tukipita naye tunajionesha uhalisia wetu.
 
Huwezi kuacha mapenzi kisa kuumizwa.
Mapenzi utayaacha ukiwa mgonjwa ama umekufa.
Relax utakuwa sawa tu.
 
Aisee


But mimi pia ni km mleta mada nimepumzika naelekea kuacha kabisa.
 
Yaani wadada hili mpka leo hawajalijua tuu🤣🤣🤣🤣
 
Mpango wa kuacha mapenzi sina, japo yameniotea yakanichapa hatari mpaka nikadata,
Ila hayo mapenzi yajage tu yaniue yataamua yenyewe yazike ama yasafirishe..!
Hahahaaa nimecheka kibwege Sanaa ,yapo kama ngumi yakikuotea utajuta!! sema nini ugomvi wa kiarusha unarudi nyuma unajipanga upya
 
Izo ni dalili za kuwa mchawi hutaki kupenda Wala hutaki kupendwa kunakoelekea utanza kuchukia watu wakipendana
 
Njia ni moja tuu, " kuwa chanzo Cha furaha yako"... Usitegemee upate furaha eti ukiingia kwenye mapenzi
. Kwani kabla ya yeye ulikuwa waishije?
 
Kule Tarime nasikia kuna kitu wanakifyatua unakuwa hisialess
 
Tafuta mwanamme asiye na kazi Wala mke na watoto. Kisha nenda Tabora ukafundishwe jinsi ya kumlisha limbwata.
Thank me later.
 
We tafuta mtu sahihi tu utasahau yote uyasemayo

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
Pole, Kwa mm naona hapa tiba ya ushauri ataiotoa mzabzab tu au smart man Extrovert

Zingatia Sana ushaur wa hawa watu
Mkuu kuwaza pesa ni jambo zuri ila ikiwa kashafanya mambo yanayotakikana...Kama ana watoto kashapata basi focus lazma iende kwenye pesa tu. Kwahio atafute watoto kwanza akili ya pesa huja automatically.
 
Si ukatafute Kazi ngumu uone kama utawaza sio unashinda umelala ndani unadhani utaacha kuwaza
 
Any updates mamy??? Vipi saivi kimahusiano akili imetulia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…