shuuprecious
New Member
- Oct 31, 2022
- 4
- 5
Habar ndugu zangu, naomba msaada kwa anaefahamu dawa ya kuacha matumizi ya pombe
Habar ndugu zangu, naomba msaada kwa anaefahamu dawa ya kuacha matumizi ya pombe
Nyeto ni mbadala wa kuingiliana baina ya me na ke. Sasa ili uache nyeto yakubidi upige sana mashine jinsia ke yani hakuna dawa wala njia nyingine ili uachane na huo mbadala unao uita nyeto. Ni ushauri fulani usio faa kwa wana dini lakini kwenda kanosani na kuomba haitoshi.Mimi nataka dawa ya kuacha nyeto
Ahsante mkuuNyeto ni mbadala wa kuingiliana baina ya me na ke. Sasa ili uache nyeto yakubidi upige sana mashine jinsia ke yani hakuna dawa wala njia nyingine ili uachane na huo mbadala unao uita nyeto. Ni ushauri fulani usio faa kwa wana dini lakini kwenda kanosani na kuomba haitoshi.
Tafuta mtu ambaye atakuwa karibu zaidi ya sabuni unayo tumia kupiga nyeto.
Vinginevyo siku misuli ya uume ikilegea na ukashindwa kupiga mashine baravara ndipp utakapo acha kuoiga nyeto bila shuruti
Cc dronedrakeMimi nataka dawa ya kuacha nyeto
Tafuta mke oaMimi nataka dawa ya kuacha nyeto
Nilitaka kumwambia,kila mlevi asubuhi hua lazima aweke maazimio ya kuacha pombe (hangover mixer ukicheki pesa ulizotumia Jana) 😄Hizo ni hangover tu mkuu. Kapige supu, oga maji ya baridi, meza diclopar na kunywa maji mengi.
Ni maamuzi tu kuacha changamoto yake ni kushindana na hisia zakoMimi nataka dawa ya kuacha nyeto
Nime give up kwenye swala la kuoa. Kila mwanamke anayekuja kwenye maisha yangu ni tafraniTafuta mke oa
Duh polee sana njia pekee ya kuacha kujichua ni kuwa na mwanamke tu na usikae peke yako sana Fanya mazoezi kunywa maji mengiNime give up kwenye swala la kuoa. Kila mwanamke anayekuja kwenye maisha yangu ni tafrani
PowaDuh polee sana njia pekee ya kuacha kujichua ni kuwa na mwanamke tu na usikae peke yako sana Fanya mazoezi kunywa maji mengi