Msaada: Data processing katika research

Msaada: Data processing katika research

There is no anyone in university which you study who can given help.
even your lecture, then you looking us who have low knowledge about that.
shame on you

Mkuu anayeomba msaada pamoja na great thinkers tulio wengi humu jamvini tunaielewa vizuri lugha ya taifa kwa nini usimjibu kwa lugha ambayo unailewa vizuri kuliko kujidhalilisha kwa kutumia lugha ambayo hakika inakupiga chenga!!!!!!.

Hahaaaaa nimecheka sana kwakweli. Alafu eti shame on you, hahaaaaa
 
Hivi kuna chuo hakina kitengo cha takwimu? Huyu mwanafunzi anatakiwa kupewa msaada aweze kufanya data management (entry, validation and cleaning) na analysis.

Kama chuo hakitoi msaada basi tunaweza kukuunganisha na vyuo au taasisi nyingine ili wakusaidie.
 
Back
Top Bottom