Msaada: Dada angu anasumbuliwa na tumbo

Msaada: Dada angu anasumbuliwa na tumbo

leop

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
550
Reaction score
538
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jamn, naomba mnisaidie tufanyeje au shida inaweza kuwa nn. Dada angu anasumbuliwa sana na gesi inatoka tumboni inarudi inapanda kifuani afu inamuunguza mapafu afu anapata vichomi.

Halafu anaweza akacheua hadi chakula. Alienda hosp akaambiwa vidonda vya tumbo na akapewa dawa lakn shida inaondoka na kurudi tena.

Tunaomba msaada jamani kwa mawazo
 
Asile vyakula vya acid Sana na asikae na njaa Sana mda mrefu na ajitahidi awe anakunywa Chai at least asubuhi na usiku
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jamn, naomba mnisaidie tufanyeje au shida inaweza kuwa nn. Dada angu anasumbuliwa sana na gesi inatoka tumboni inarudi inapanda kifuani afu inamuunguza mapafu afu anapata vichomi. Afu anaweza akacheua hadi chakula. Alienda hosp akaambiwa vidonda vya tumbo na akapewa dawa lakn shida inaondoka na kurudi tena. Tunaomba msaada jmn kwa mawazo

Poleni,
Mgonjwa inawezekana ana tatizo la gastroesophageal reflux disease (GERD).

Kama uķo sehemu unaweza kumpata daktari bingwa wa njia ya chakula(gastroenterologist) ni mhimu kumwona.

Kuna mambo ya kuzingatia pamoja na tiba, kama:
1: chanzo ni nini?
2: tiba
3: nini kifanyike kuepusha tatizo
4: nini kisifanyike kuepusha tatizo
 
Nilikua nasumbuliwa sana na hii hali nikakutana na jamaa fulani ndo akawa amenishauri nikatumie cabbage!! Yan unabrend mchanganyiko wa cabbage na Carrots then unaiaweka kwenye kifaa kisafi yaweza kuwa chupa inakaa kwa muda wa siku tatu!

Baada ya hapo ndo unachuja ! Itakua na ladha ya uchachu unatunza kwenye fridge kama huna wewe kunywa hivyo hivyo !japo kadri itakavyokaa uchachu unaongezeka ! Kunywa siku 7 !! Nimezoea hadi nimeifanya ndo Juice ! Jaribu hii pengine inaweza kule ahueni mdau.
 
Poleni,
Mgonjwa inawezekana ana tatizo la gastroesophageal reflux disease (GERD).

Kama uķo sehemu unaweza kumpata daktari bingwa wa njia ya chakula(gastroenterologist) ni mhimu kumwona...

Mleta mada leop zingatia hii. Hapo pana njia na ufumbuzi kamili wa tatizo hilo.
 
Asile vyakula vya acid Sana na asikae na njaa Sana mda mrefu na ajitahidi awe anakunywa Chai at least asubuhi na usiku
Nashukuru kwa ushauri
 
Poleni,
Mgonjwa inawezekana ana tatizo la gastroesophageal reflux disease (GERD)...
Sawa nimeelewa mkuu, tutajitahidi tutafute hosp nzuri nzuri maana yuko kijijini anaendaga kwenye zahanati tu
 
Nilikua nasumbuliwa sana na hii hali nikakutana na jamaa fulani ndo akawa amenishauri nikatumie cabbage!! Yan unabrend mchanganyiko wa cabbage na Carrots then unaiaweka kwenye kifaa kisafi yaweza kuwa chupa inakaa kwa muda wa siku tatu !! Baada ya hapo ndo unachuja ! Itakua na ladha ya uchachu unatunza kwenye fridge kama huna wewe kunywa hivyo hivyo !japo kadri itakavyokaa uchachu unaongezeka ! Kunywa siku 7 !! Nimezoea hadi nimeifanya ndo Juice ! Jaribu hii pengine inaweza kule ahueni mdau.
Cabbage iwe imepikwa o mbichi
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jamn, naomba mnisaidie tufanyeje au shida inaweza kuwa nn. Dada angu anasumbuliwa sana na gesi inatoka tumboni inarudi inapanda kifuani afu inamuunguza mapafu afu anapata vichomi. Afu anaweza akacheua hadi chakula. Alienda hosp akaambiwa vidonda vya tumbo na akapewa dawa lakn shida inaondoka na kurudi tena. Tunaomba msaada jmn kwa mawazo
Kama yuko Dar aende Regency.nadhani watasolve issue yake.wanapokea NHIF pia
 
Nendeni hospital acheni uvivu .kuna mwingi kaumwa tumbo huku kakaa tu home siku kaenda hospital waka kuta ni Appendix na ilikua tayari kwenye critical stage .bado kidgo tu tunge msindikiza mbinguni
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jamn, naomba mnisaidie tufanyeje au shida inaweza kuwa nn. Dada angu anasumbuliwa sana na gesi inatoka tumboni inarudi inapanda kifuani afu inamuunguza mapafu afu anapata vichomi. Afu anaweza akacheua hadi chakula. Alienda hosp akaambiwa vidonda vya tumbo na akapewa dawa lakn shida inaondoka na kurudi tena. Tunaomba msaada jmn kwa mawazo
Mkuu pole kwa dada yako kuwa na gesi nyingi na vidonda vya tumbo Mpeleke hospitali akatibiwe asipo pona nitafute mimi ili niweze kumtibia maradhi yake.
Kuwa na gesi nyingi tumboni kuna sababishwa na asidi kuwa nyingi ndani ya tumbo na pia ina msababisha kuwa na hayo maradhi ya Vidonda vya tumbo. Na Akapime je anao wadudu wanao sabababisha Vidonda vya tumbo? Wadudu Bacteria wa helicobacter pylori?
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jamn, naomba mnisaidie tufanyeje au shida inaweza kuwa nn. Dada angu anasumbuliwa sana na gesi inatoka tumboni inarudi inapanda kifuani afu inamuunguza mapafu afu anapata vichomi. Afu anaweza akacheua hadi chakula. Alienda hosp akaambiwa vidonda vya tumbo na akapewa dawa lakn shida inaondoka na kurudi tena. Tunaomba msaada jmn kwa mawazo
Ubuyu plus asali anapika kama ugali, then anakula kama ugali. Ubuyu uwe unga anachanganya na kupika kama ugali kawaida. Asali mbichi
 
Back
Top Bottom