Msaada -chip set.

Salanga

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
364
44
Wakuu kuna laptop HP fundi kasema imeharibika CHIP SET.

Napenda kufahamu mahali walipo agents wa HP TanZania:dsm/mwanza ili ipelekwe waitengenze.
Kama kuna mtu ana alternative nitashukuru kwa maelekezo.

Nawasilisha.
 
Wakuu kuna laptop HP fundi kasema imeharibika CHIP SET.

Napenda kufahamu mahali walipo agents wa HP TanZania:dsm/mwanza ili ipelekwe waitengenze.
Kama kuna mtu ana alternative nitashukuru kwa maelekezo.

Nawasilisha.

Weka maelezo ya kutosha kuhusu kinachoisumbua laptop yako na sifa zake (specification zake). Ni chipset au ni drive ya chpiset ndio ina matatizo??????
 
Back
Top Bottom