micind
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 342
- 867
Habari tafadhali naomba msaada kwa member wanaoishi mwanza wapi naweza kupata chanjo ya mtoto mchanga (Siku kumi) ile ya begani bugando hazikuepo siku amejifungua na kituo cha afya hapa karibu tumeambiwa mpaka tar 15 naona kama mbali sana
Naomba kufahamu hospital gani wanatoa chanjo ndani ya wiki hii nitashukuru
Naomba kufahamu hospital gani wanatoa chanjo ndani ya wiki hii nitashukuru