msaada Chaneli zinazopatikana ktk decoda ya DIGITEK?

msaada Chaneli zinazopatikana ktk decoda ya DIGITEK?

Ngassa 21

Member
Joined
Sep 21, 2012
Posts
12
Reaction score
1
Salamu wana JF, ninaomba kujua kwa mtumiaji wa decoda ya DIGITEK. Ni channel zipi zinazopatikana? Maana me sijui kabisa :A S 39: Natanguliza Shukrani..
 
Salamu wana JF, ninaomba kujua kwa mtumiaji wa decoda ya DIGITEK. Ni channel zipi zinazopatikana? Maana me sijui kabisa :A S 39: Natanguliza Shukrani..

Wanatumia channel moja tu kati ya tatu walizopewa kwa dar. Channel 23 ya 490Mhz yenye

program 17 za TV ambazo ni

ITV
EATV
Capital TV
TBC
Star TV - Africa
CH 10
Clouds TV
Mlimani TV
UBC
Citizen TY
Emmanuel TV
Africa TV - Swahili
LoveWorld
Arirang
NHK Japan
CCTV 9
Al Jazeera

na ongeza program 10 za radio ambazo ni

Radio One Sterio
East Africa Radio
Capital Radio
TBC Radio
Kiss FM
Radio Free Africa
Clouds FM
Citizen Radio
City FM
Magic FM
 
Wanatumia channel moja tu kati ya tatu walizopewa kwa dar. Channel 23 ya 490Mhz yenye

program 15 za TV ambazo ni

ITV
EATV
Capital TV
TBC
Star TV - Africa
CH 10
Clouds TV
Citizen TY
Emmanuel TV
Africa TV - Swahili
LoveWorld
Arirang
NHK Japan
CCTV 9
Al Jazeera

na ongeza program 10 za radio ambazo ni

Radio One Sterio
East Africa Radio
Capital Radio
TBC Radio
Kiss FM
Radio Free Africa
Clouds FM
Citizen Radio
City FM
Magic FM

Huu ndii ustaarabu wa Jf tunaoutaka. Sio hao hapo juu wanajibu hovyo hovyo tu. Big up mkuu kwa majibu yaliyotukuka.
 
Huu ndii ustaarabu wa Jf tunaoutaka. Sio hao hapo juu wanajibu hovyo hovyo tu. Big up mkuu kwa majibu yaliyotukuka.


Tsishangae kuona watu waktoa majib ya OVYO OVYO yaweza kuwa walijiunga humu ili wasionekane washamba. Lakini watu hawaelewi SLOGANI YA JAMII FORUM ( GREATER THINKERS)
 
Back
Top Bottom