Msaada : Cellular Network Programming

Software Engineer

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2014
Posts
344
Reaction score
137
Ninahitaji kutengeza mobile app itakayokuwa inaonesha cell stats (signal strength, download speed, upload speed, n.k)

Kuna hii app ya G-NET Track inaonesha vitu kibao.

Kwa wale wenye experience na hivi vitu, naombeni mwongozo + materials + pseudocode ili niweze kufanikisha zoezi hili.

Pamoja
 

Unachohitaji ni class inaitwa SignalStrength, ina methods zote unazohitaji, kama hiyo ya signal strength inaitwa getGsmSignalStrength() inareturn int, ni wewe tu sasa kuirepresent unavotaka.
Ila kabla ya kutumia hiyo class inabidi u-initialize PhoneStateListener ambayo yenyewe ndo itakua inalisten for any change in the signal strength alafu inaprovide SignalStrength kwenye method yake ya onSignalStrengthChanged

In code iko hivi, forgive JF kwa kukosa styling ya code siku hizi

Code:
PhoneStateListener phoneStateListener= new PhoneStateListener()[
  /*
*other methods weka Ctrl+O kuona methods nyingine kama utazihitaji
*/
  public void onSignalStrengthChanged(SignalStrength signalStrength){
    int strength = signalStrength.getGsmSignalStrength();
    //Fanya sasa unachotaka kama ni kuchora au kuidisplay as an int
  }
}
Ni lazima ku-register Listener na TelephonyManager hii ndiyo itakua inacall hiyo phoneStateListener yako

Code:
TelephonyManager tManager=(TelephonyManager) getSystemService(Context.TELEPHONY_SERVICE);
tManager.listen(phoneStateListener, PhoneStateListener.LISTEN_SIGNAL_STRENGTH);

You are done
 
God bless you
 
Excellent idea, naomba niwe investor kwenye hii project. Mimi nina data za minara yote nchini. Ni pm tuongee.
 
Nafarijika ninapoona jf kuna vichwa hatari kama hivi.
 

Thanks kwa mchango wako mkuu.

Hiyo nimeitumia, inanipa rssi vizuri tuu.

Challenge ipo kwenye parameters nyingine kama vile
1. Download speed (DL): Hii nimejaribu ku create background process inayodownload file kutoka kwenye remote server X, then na count muda uliotumika, finally na calculate speed = Filesize/time
2. Upload speed(UL): nimefanya kwa approach hiyo hiyo.
>Sijaridhika na hizi approach kwani zinatumia muda mkuubwa na haiko vizuri kwa ujumla, sasa sielewi source ya matatizo ni nini hasa.

> Gnet iko fast sana, ukifungua tuu tayari ushaona output

3. Kuna parameters kama vile PSC,RSCP,ECNO,SNR, ... Una idea yeyote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…