Software Engineer
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 344
- 137
Ninahitaji kutengeza mobile app itakayokuwa inaonesha cell stats (signal strength, download speed, upload speed, n.k)
Kuna hii app ya G-NET Track inaonesha vitu kibao.
Kwa wale wenye experience na hivi vitu, naombeni mwongozo + materials + pseudocode ili niweze kufanikisha zoezi hili.
Pamoja
PhoneStateListener phoneStateListener= new PhoneStateListener()[
/*
*other methods weka Ctrl+O kuona methods nyingine kama utazihitaji
*/
public void onSignalStrengthChanged(SignalStrength signalStrength){
int strength = signalStrength.getGsmSignalStrength();
//Fanya sasa unachotaka kama ni kuchora au kuidisplay as an int
}
}
TelephonyManager tManager=(TelephonyManager) getSystemService(Context.TELEPHONY_SERVICE);
tManager.listen(phoneStateListener, PhoneStateListener.LISTEN_SIGNAL_STRENGTH);
God bless youUnachohitaji ni class inaitwa SignalStrength, ina methods zote unazohitaji, kama hiyo ya signal strength inaitwa getGsmSignalStrength() inareturn int, ni wewe tu sasa kuirepresent unavotaka.
Ila kabla ya kutumia hiyo class inabidi u-initialize PhoneStateListener ambayo yenyewe ndo itakua inalisten for any change in the signal strength alafu inaprovide SignalStrength kwenye method yake ya onSignalStrengthChanged
In code iko hivi, forgive JF kwa kukosa styling ya code siku hizi
PhoneStateListener phoneStateListener= new PhoneStateListener()[
/*
*other methods weka Ctrl+O kuona methods nyingine kama utazihitaji
*/
public void onSignalStrengthChanged(SignalStrength signalStrength){
int strength = signalStrength.getGsmSignalStrength();
//Fanya sasa unachotaka kama ni kuchora au kuidisplay as an int
}
}
Ni lazima ku-register Listener na TelephonyManager hii ndiyo itakua inacall hiyo mListener yako
TelephonyManager tManager=(TelephonyManager) getSystemService(Context.TELEPHONY_SERVICE);
tManager.listen(phoneStateListener, PhoneStateListener.LISTEN_SIGNAL_STRENGTH);
You are done
Ubarikiwe piaGod bless you
Excellent idea, naomba niwe investor kwenye hii project. Mimi nina data za minara yote nchini. Ni pm tuongee.Ninahitaji kutengeza mobile app itakayokuwa inaonesha cell stats (signal strength, download speed, upload speed, n.k)
Kuna hii app ya G-NET Track inaonesha vitu kibao.
Kwa wale wenye experience na hivi vitu, naombeni mwongozo + materials + pseudocode ili niweze kufanikisha zoezi hili.
Pamoja
Nafarijika ninapoona jf kuna vichwa hatari kama hivi.Unachohitaji ni class inaitwa SignalStrength, ina methods zote unazohitaji, kama hiyo ya signal strength inaitwa getGsmSignalStrength() inareturn int, ni wewe tu sasa kuirepresent unavotaka.
Ila kabla ya kutumia hiyo class inabidi u-initialize PhoneStateListener ambayo yenyewe ndo itakua inalisten for any change in the signal strength alafu inaprovide SignalStrength kwenye method yake ya onSignalStrengthChanged
In code iko hivi, forgive JF kwa kukosa styling ya code siku hizi
PhoneStateListener phoneStateListener= new PhoneStateListener()[
/*
*other methods weka Ctrl+O kuona methods nyingine kama utazihitaji
*/
public void onSignalStrengthChanged(SignalStrength signalStrength){
int strength = signalStrength.getGsmSignalStrength();
//Fanya sasa unachotaka kama ni kuchora au kuidisplay as an int
}
}
Ni lazima ku-register Listener na TelephonyManager hii ndiyo itakua inacall hiyo mListener yako
TelephonyManager tManager=(TelephonyManager) getSystemService(Context.TELEPHONY_SERVICE);
tManager.listen(phoneStateListener, PhoneStateListener.LISTEN_SIGNAL_STRENGTH);
You are done
Unachohitaji ni class inaitwa SignalStrength, ina methods zote unazohitaji, kama hiyo ya signal strength inaitwa getGsmSignalStrength() inareturn int, ni wewe tu sasa kuirepresent unavotaka.
Ila kabla ya kutumia hiyo class inabidi u-initialize PhoneStateListener ambayo yenyewe ndo itakua inalisten for any change in the signal strength alafu inaprovide SignalStrength kwenye method yake ya onSignalStrengthChanged
In code iko hivi, forgive JF kwa kukosa styling ya code siku hizi
PhoneStateListener phoneStateListener= new PhoneStateListener()[
/*
*other methods weka Ctrl+O kuona methods nyingine kama utazihitaji
*/
public void onSignalStrengthChanged(SignalStrength signalStrength){
int strength = signalStrength.getGsmSignalStrength();
//Fanya sasa unachotaka kama ni kuchora au kuidisplay as an int
}
}
Ni lazima ku-register Listener na TelephonyManager hii ndiyo itakua inacall hiyo mListener yako
TelephonyManager tManager=(TelephonyManager) getSystemService(Context.TELEPHONY_SERVICE);
tManager.listen(phoneStateListener, PhoneStateListener.LISTEN_SIGNAL_STRENGTH);
You are done
Sawa investor. Nicheki kwa hii developers@grabcityinfodotcom (weka . badala ya dot)Excellent idea, naomba niwe investor kwenye hii project. Mimi nina data za minara yote nchini. Ni pm tuongee.