Msaada bundle ya airtel

chishango

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2009
Posts
854
Reaction score
362
Wakuu nilikuwa natumia ile trick ya bundle ya 400MB kwa shs 2500 lakini inagoma kwa sasa msaada tafadhali maana hizi nyingine ni balaa tupu
Natanguliza shukurani
 
Duh... kwisha habari yangu... Na mie hiyo hiyo ndo huwa inanitoa. Hebu jaribu kupiga customer care¡¡
 
Mi ilishakataa miezi mingi iliyopita ila hatimaye nimechakachuwa modem yao sahivi natumia line yeyote ninayoona ina bei nafuu kwa muda uliopo
 
kwa matumizi ya kawaida hii ya 500 kwa siku inamudu maana wanakupa 50MB bt kwa sie wazee wa downloads kwisha habari yetu
 
Hii kitu nasikia kwa wale wateja waliotumiaga hii huduma mapema inakubali lakini wanaojaribu kwa sasa imezuiliwa mi bado nimo cheers 400mb per wani mansi
 
Nadhani c wenye magari ya mkaa(modem za zamani zile nyeusi ndio bado tunafaidi hiyo ya 400mb kwa 2500!mi hata leo nimejiunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…