Baba Mkali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 810
- 808
Pole mdogo wangu. Umemaliza GY lini? Kuna changamoto sana GY as market yake inabadilika mara kwa mara. Ndani ya mwaka mmoja kuna wanaopasua na kuna wanaoumia. Kazi zinakua nyingi ghafla zinapotea ziiii. Na tatizo ni kubwa zaidi as kujiajiri inahitaji experience na network kubwa. Ukiwa na experience na network ya kutosha wigo unakua mpana sana. Ni mwendo wa consultancy; miezi miwili site and make 20-30,000USD unarudi kitaa mwezi, sometime miezi6! Kuna time unasota ila siku ukiipata u make most of it.Geology???? Mwenzio nasugua gaga na geology yangu kitaaan
I did geology some 8yrs ago ila muda ukirudishwa nyuma niambiwe kuchagua kozi nitaichagua geology tena. I enjoy in this profession.
Mleta mada, nitakusahuri baadae kidogo. Sitakushauri uchague kozi gani ila nitakufunulia future(s) za njia hizo mbili. Utachagua mwenyewe