Alexanda jozee
Member
- Sep 9, 2019
- 17
- 4
Naombeni msaada kidogo wakuu...nimepangiwa IFM third round ambapo niliomba fuculty tatu TAXATION,INSUARANCE AND ACCOUNT..na majibu yamekuja kwamba you are sellected bachelor degree 2019/2020..TATIZO ni kwamba hawajaonyesha wamenipangia fuculty ipi na nimeshaconfirm..msaada wakuu kwa anaejua!