Msaada: Binamu yangu ameokota kitu mithili ya shillingi

Msaada: Binamu yangu ameokota kitu mithili ya shillingi

Ng'wanapagi

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2013
Posts
9,116
Reaction score
8,658
Binamu yangu ameokota hiki kitu mithili ya shillingi kubwa lakini lugha na material iliyotengenezewa siifahamu.

Nitashukuru sana maana hapa tunahisi isije kuwa Freemason wanatutafuta.

Ameikota mlimani
 

Attachments

  • 1438973992807.jpg
    1438973992807.jpg
    47.9 KB · Views: 2,156
Niko napeleka kwa geologist,
 

Attachments

  • 1438974460018.jpg
    1438974460018.jpg
    57.8 KB · Views: 1,487
Hadi sasa naelekea kwa mtalaamu mwanzoni nilizania kijerumani!!
 

Attachments

  • 1438974613774.jpg
    1438974613774.jpg
    57.5 KB · Views: 1,283
Hadi sasa naelekea kwa mtalaamu mwanzoni nilizania kijerumani!!

Hii ni sarafu ya Kirusi (ya sasa au ya zamani). Ni ya mwaka 1900 (nadhani - angalia upande wa picha).

Picha ni ya Vladimir Lenin. Upande wa pili inaonesha kipindi kutoka 1905 - 1917. Kumbuka 1917 ndio mapinduzi ya kikomunisti ya Urusi (Bolshevik revolution) yalipotokea.

Sijui kusoma Kirusi lakini nadhani hii sarafu inazungumzia historia ya mapinduzi ya kikomunisti ya Urusi. Kinachonikwaza ni kwa nini upande wa picha una mwaka 1900.

Waliopo Urusi tafadhali saidia.
 
Binamu yangu ameokota hiki kitu mithili ya shillingi kubwa lakini lugha na material Iliyotengenezewa siifahamu. Tashukuru sana maana hapa tunahisi isije kuwa Freemason wanatutafuta. Ameikota mlimani.

Kwanini iyo coin usiifanye yakukwangulia vocha mkuu?
 
Binamu yangu ameokota hiki kitu mithili ya shillingi kubwa lakini lugha na material Iliyotengenezewa siifahamu. Tashukuru sana maana hapa tunahisi isije kuwa Freemason wanatutafuta. Ameikota mlimani.

Mungu wangu kuna mtoto wa kaka yangu aliokota kama iyo akaenda kuuza pale kkoo alipata milion 98, alinunua kiwanja akajenga nyumba na gari na biashara juu akafungua ni pm nikuelekeze
 
Mungu wangu kuna mtoto wa kaka yangu aliokota kama iyo akaenda kuuza pale kkoo alipata milion 98, alinunua kiwanja akajenga nyumba na gari na biashara juu akafungua ni pm nikuelekeze

Acha kumpoteza wewe!
 
Back
Top Bottom