Katka harakati za hapa na pale nimejibana kwenye kamshahara kadogo nimekusanya sh 1 mil ambayo nataka niifanyie biashara itakayonisaidia kunitoa katika hali niliyonayo japo nipige hatua.
Nimekua nikifiria kuhusu biashara ya kuuza chips au chakula lakini sina uelewa sana na biashara hiyo. pia ninafikiria kufanya uwakala wa mpesa,tigo pesa, airtel money n.k.
Kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia nini cha kufanya kwa kahela haka kadogo itakuwa njema zaidi coz nimekusudia kukazungusha.
Tafadhali naomba kuwasilisha
Asanteni ndugu zangu
Nimekua nikifiria kuhusu biashara ya kuuza chips au chakula lakini sina uelewa sana na biashara hiyo. pia ninafikiria kufanya uwakala wa mpesa,tigo pesa, airtel money n.k.
Kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia nini cha kufanya kwa kahela haka kadogo itakuwa njema zaidi coz nimekusudia kukazungusha.
Tafadhali naomba kuwasilisha
Asanteni ndugu zangu