PHILE1879 JF-Expert Member May 6, 2013 633 469 Jan 11, 2018 #1 Jana nilinunua battery mpya kutoka dukani.Saa 11 Jioni nikaiweka chaji lakini haivuki 48% Tatizo ni Nini? Nifanyeje? Msaada tafadhali.
Jana nilinunua battery mpya kutoka dukani.Saa 11 Jioni nikaiweka chaji lakini haivuki 48% Tatizo ni Nini? Nifanyeje? Msaada tafadhali.
Paul Buchira R I P Aug 5, 2013 1,043 560 Jan 11, 2018 #3 Battry mbovu ulikosea kidogo kwenye matumizi ya mwabzo
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,704 39,782 Jan 11, 2018 #4 ukaaji chaji upoje? sometime ni meter tu haisomi vizuri. na hilo battery umepewa warranty hata ya mwezi? lirudishe dukani wakupe jengine.
ukaaji chaji upoje? sometime ni meter tu haisomi vizuri. na hilo battery umepewa warranty hata ya mwezi? lirudishe dukani wakupe jengine.
L004 JF-Expert Member Oct 30, 2017 200 182 Jan 11, 2018 #5 bila shaka ni shida ya voltage angalia vyema battery na adapter zina range sawa