nisaidieni jamani nitapata tablet kwa bei gani?? hizi zenye 8gb zinaendaje....nataka ya bei nafuu
ziko kibao tena hata laki tano
Kaulizie ya toshba 16gb mi ninayomkuu hiyo kilo 5 ni mini au?na ka sio mini zinauzwa wap?
Kaulizie ya toshba 16gb mi ninayo