Nchi ngapi mkuu
Tunduma anapata Samsung 260,000/- usafiri hadi DSM kwa Golden Deer ni 10k tu.Inch 43 kwahiyo bei hata Blackstone hupati labda used
Hisence yenyewe inch 32 smart 500,000,kawaida ni 450,000
Ongeza hela kidogo ifike hata 650,000 unapta hisence safi kabisa na warrant 2yearsKwahiyo una nishaurije kiongozi
Huko vitu ni bei rahisi sana aiseeTunduma anapata Samsung 260,000/- usafiri hadi DSM kwa Golden Deer ni 10k tu.
Hisence anapata kwa 300 kamili.
Vyote nilivyovitaja ni inch 32
Ongeza hela kidogo ifike hata 650,000 unapta hisence safi kabisa na warrant 2years
Anataka inch 43-45 wewe unamletea ma, vo ya 32. Hivi huwa ni uelewa mdogo ama mi ndio sielewiTunduma anapata Samsung 260,000/- usafiri hadi DSM kwa Golden Deer ni 10k tu.
Hisence anapata kwa 300 kamili.
Vyote nilivyovitaja ni inch 32
Inch 43Inch ngapi ??
dadavua bossTunduma anapata Samsung 260,000/- usafiri hadi DSM kwa Golden Deer ni 10k tu.
Hisence anapata kwa 300 kamili.
Vyote nilivyovitaja ni inch 32
Labda mtumba mkuu, 43 inch ni around 700,000 kwa hizo brand kubwa ikiwa sio smart, na smart kuanzia laki 8.Habarini za usiku ndg
Naomba kuuliza kwa 500,000 ,nahitaji TV flat screen kuanzia inches 43-45 naweza kupata kampuni gani ...kati ya aborder, Panasonic, TCV au Samsung
Naombeni msaada kwa mwenye kujua hizo info .. Asante
Tunduma sehemu gani?Tunduma anapata Samsung 260,000/- usafiri hadi DSM kwa Golden Deer ni 10k tu.
Hisence anapata kwa 300 kamili.
Vyote nilivyovitaja ni inch 32
Tunduma ili ununue vitu kwa bei rahisi lazma uwe mjanja mjanja sana na uwe na mtu lacvyo unaweza ukalia pale.Tunduma sehemu gani?
Kwa mgeni anayetaka kununua hiyo tv uloyosema hapo juu unamshaurije...Tunduma ili ununue vitu kwa bei rahisi lazma uwe mjanja mjanja sana na uwe na mtu lacvyo unaweza ukalia pale.
Ata simu mwanzon zilikuwa bei rahisi sana ila kwa sasa mpka upate za bei za kulenga kabisa lazma ujuane na wadau.
Nying zinakuaga used cjui jamaa wanazitoaga wap, unakuta ni used alaf kali kweli kweli kuna jmaa wang alishawahi kuotea akaja nayo mbeya mjn akaipga bei siku hyo hyo mtu alipofikia dauKwa mgeni anayetaka kununua hiyo tv uloyosema hapo juu unamshaurije...
kama una pesa jikunjue tu nenda dukani vitu vya kulenga zinahitaji umakn na kama n mpya nahis wakipiga ng'ambo ndio zinauzwa kwa bei rahisi tzKwa mgeni anayetaka kununua hiyo tv uloyosema hapo juu unamshaurije...