kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,861
- 3,097
Habarini wadau,
Naomba utalaam wa kutengeneza tambi (bites) na zile za kupika je mashine zake naweza kupata kwa sh ngapi, je naweza kutengeneza bila mashine hizo bites za tambi?
Naomba utalaam wa kutengeneza tambi (bites) na zile za kupika je mashine zake naweza kupata kwa sh ngapi, je naweza kutengeneza bila mashine hizo bites za tambi?