Wakuu, nina Apple IPhone 4S. Naona toka jana nikichaji baada ya kuchomoa tu chaji inaniambia "battery low, shutting down". Nahisi battery imekufa kwani wakati wa kuchaji inaonyesha chaji inaingia hadi asilimia 100. Sasa kwa mwenye battery mpya tuwasiliane PM akitaja bei na gharama za kufunga. Awe DSM tafadhari maeneo ya katikati ya jiji ili iwe rahisi kwangu kumpata.