Msaada Bando kuisha ghafla

Msaada Bando kuisha ghafla

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,150
Reaction score
17,003
Natumia mtandao wa tigo. Kila nikiweka bando kwa ajili ya kuperuzi linaisha ndani ya dk5 hata ziwe GB1. Kinachotokea nikwamba nikiweka tu bando simu inaanza kupokea notification za ajabu ajabu na kujidownloard apps ambazo hata sijaziomba.

Sasa naomba msaada wa kutoka kwenye huu mtego.

Msaada tafadhali. Natanguliza shukrani
 
Tg wamenishinda tabia kabisaaaa.
Mwenyewe niwa na Gb 2.5 na download kitu cha mb 500 bundle inakata
 
remove ads na acha kuingia ingia ktk kila tangazo
ilaaa vizuri ni ww pia KUJIUNGA TENA GHAFLA
 
1.Licha ya kuwa mitandao ni wezi wa data kwa kutuhadaa kwa namba ila pia matumizi ya simu yako ni makubwa. Turnoff updates za playstore kisha sikilizia.

2.Ikizingua restore upya kisha weka kaspersky antivirus uiscan itatoka ma adware yote yanayokera kisha endelea na matumizi.

3.Ikizingua na hapo tena inabidi ununue simu za kueleweka uachane na hilo simu la kichina.
 
Tigo nawakubali haswa kila niongezapo salio unasikia hongera kwa kuongeza salio
 
Nenda Play store then nenda kwenye Settings>>> Auto-update apps >(weka Auto-update apps over WiFi only)
 
Back
Top Bottom