Nafasi wapi mkuuJifunze kukubali kufeli. Itakusaidia sana.
Njoo, tusubirie nafasi nyingine.
Kwanza polee sana pia rudia kufanya tena ili ujue ulikosea wapi hapo mwanzo hii itakusaidia kujiamini na kufanya vizuri hiyo interviewNdugu zangu nimefail interview ya Taesa vipi naweza kurudia upya? Nimekaa nimefikiria Kila kitu nilikijibu sawa lakini status inasoma fail nifanyaje nirudie interview
Nimejaribu kubook training upya system inakataa
Msaada
Haiwezekani Kwa sababu ya nida itaonyesha ilishatumikaKama umefail, kwani ukijaribu kufungua account mpya kwa kutumia emil mpya ujisajiri tena upya as if hujawah jisajiri itakua na shda?.. nahis inawezekana. Nmewaza tu hiv.
Nakufuata pm mkuu,
Narudiaje kwenye kubook training upya system inakataaKwanza polee sana pia rudia kufanya tena ili ujue ulikosea wapi hapo mwanzo hii itakusaidia kujiamini na kufanya vizuri hiyo interview
Refresh hiyo page au subir baada ya muda itakubali tuNarudiaje kwenye kubook training upya system inakataa
Mbna m nmejisajili mara 2 mkuu au hii system imeanza lini, hayo mambo najuaga ni ya psrs pekeeHaiwezekani Kwa sababu ya nida itaonyesha ilishatumika
Wanaweka majibuMsaada unakuwa unajuaje kama interview ya taesa nilifaulu au nilifeli kupitia hiyo account yao
Mbona tukijaribu kucreate account TAESA inazingua?Ndugu zangu nimefail interview ya Taesa vipi naweza kurudia upya? Nimekaa nimefikiria Kila kitu nilikijibu sawa lakini status inasoma fail nifanyaje nirudie interview
Nimejaribu kubook training upya system inakataa
Msaada
Sehemu gani wanaweka nami niangalie nishawai Fanya nao interviewWanaweka majibu
Rudi pale kwenye dashboard Kuna taarifa unatakiwa ujaze then unatakiwa uattach na vyeti vya taaluma hakikisha unajaza taarifa zote hizo hapo kwenye dashboardJamani naomba msaada niki mark hpo kwnye hiko kibox ndo tayar nimesubmit au Kuna procedure nyingine...maana nili mark toka wiki iliyopita alaf ckupata majibu Hadi Leo. View attachment 2755851
umefanya interview lini kaka?Ndugu zangu nimefail interview ya Taesa vipi naweza kurudia upya? Nimekaa nimefikiria Kila kitu nilikijibu sawa lakini status inasoma fail nifanyaje nirudie interview
Nimejaribu kubook training upya system inakataa
Msaada
Mimi ni dada nimefanya interview tarehe 07 Septemberumefanya interview lini kaka?
Mark ilkuwa chin ya 50%? Hapo nimeuliza cha kufanya wanasema unasubr mwezi ulofanya interview upite then omba tena mwezi wa 10. Ila unaweza nichek wats app ili nikusaidie zaid jins ya kupita n interview yao 0769463786 only kwa msaada tu kama hautajaliMimi ni dada nimefanya interview tarehe 07 September