Msaada AVG antivirus.

Msaada AVG antivirus.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Wakuu nimejaribu ku-install AVG antivirus kwa laptop yangu.Nimeweka license key lakini katika process ya ku-install naona inaandika copying files since yesterday(tar 12) mpaka hivi sasa(tar 13) bado inaandika copying files mpaka sasa.Naomba mnitoe ushamba kuhusu hili,hivi ndo AVG antivirus inavyo-install kwa kuandika copying files au kuna namna nyingine?Na hii file copying process mbona inachukua muda mrefu sana?Halafu mbaya zaidi haiandiki progress percentage wise!
 
Naona tayari wameishtukia 'wenye mali' Hii pia ilishanitoke, nilikuwa na AVG free antivirus ambayo nilikuwa ninai-update kawaida tu bila matatizo, siku moja nikajifunza jinsi ya kupata serial key za wizi hapa jf, nilipoziweka ngoma ikakubali nilishangilia mtaa mzima, siku nilipoamua kui-update yaliyonikuta sitasahau! Nadhani tatizo lilonipata ni kama lako.
 
Naona tayari wameishtukia 'wenye mali' Hii pia ilishanitoke, nilikuwa na AVG free antivirus ambayo nilikuwa ninai-update kawaida tu bila matatizo, siku moja nikajifunza jinsi ya kupata serial key za wizi hapa jf, nilipoziweka ngoma ikakubali nilishangilia mtaa mzima, siku nilipoamua kui-update yaliyonikuta sitasahau! Nadhani tatizo lilonipata ni kama lako.
Hapana mkuu,'ukisema wenye mali' wameishtukia unamaanisha labda nime-forge license keys,mimi ndo kwanza nimenunua mzigo toka kwa dealer.
 
Wakuu nimejaribu ku-install AVG antivirus kwa laptop yangu.Nimeweka license key lakini katika process ya ku-install naona inaandika copying files since yesterday(tar 12) mpaka hivi sasa(tar 13) bado inaandika copying files mpaka sasa.Naomba mnitoe ushamba kuhusu hili,hivi ndo AVG antivirus inavyo-install kwa kuandika copying files au kuna namna nyingine?Na hii file copying process mbona inachukua muda mrefu sana?Halafu mbaya zaidi haiandiki progress percentage wise!


1.maybe your system is infected with virus. jaribu kudownload bootable avg then burn cd halaf in boot na uscan for virus..

2. au download cc cleaner and try to clean registry na junk files

3. au jaribu kuangalia if you already have another antivirus.

just helping....
cheers.
 
1.maybe your system is infected with virus. jaribu kudownload bootable avg then burn cd halaf in boot na uscan for virus..

2. au download cc cleaner and try to clean registry na junk files

3. au jaribu kuangalia if you already have another antivirus.

just helping....
cheers.
Thanks for helping me your majesty.
 
Back
Top Bottom