Naomba msaada wakuu, application ya camera kwenye desktop ya laptop(sijui kama niko sahihi hapo kwenye uandikaji) haionekani, nifanyeje niirudishe?????
jamani me naona watu wakitumia laptop ila siijui inaumuhimu gani naomba munijuze mm ninacho kijua mm magame ya windows huaga yanakuwa mazuri kuliko yakwenye cm maana simu nyingi niandroid so anyway naomba munipe matuminzi makubwa ya laptop karibu