ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,362
- 4,125
mimi siyo mtumiaji sana wa vodacom hasa kwenye simu...lakini nilisikia tu kuna matatizo ya net kwa kipindi flani hv....lakini nadhani tatizo ni ubora wa huduma ya net unayopatiwa.Ila pia kama unahisi kuna matatizo mengine yametokea katika simu yako katika hcho kipindi...waweza ukadownload app yoyote utayoweza fanya backup kisha ukarestore factor simu yako ili iweze kujirudi katika hali yake nzuri kisha ukarestore all apps installed before...
Samahan Chief-Mkwawa & others, natumia galaxy gt-s7562.
Tatizo ni kuwa Play Store sasaivi haifunguki(inanipa ujumbe "connection timed out"), Youtube, Internet, JF, fcbk zote zinagoma. Only Opera, WhtsApp & Twitter zinafunguka.
Kuhusu network mara nyingi naweka 3G. Kwa experience ulonayo, simu ina tatizo gani na suluhisho ni nini?
Nawasilisha.
Maranyingi simu zisizokuwa na playstore n maalumu kwaajili ya kutumua china. Inakuwa haina playstore wala gmail chakufanya download kwakutumia browser utapata aplication unayoitaka na itafanya kazi.
ukieka line ya voda automatic inaji activate wap (badala ya internet) ndio maana umepata hilo tatizo. opera na whatsapp wanakubali wap ila service za google hazikubali kusolve hilo tatizo inabidi utengeneze apn (access point name) ya internet
bonyeza menu then setting then kwenye wireless and network nenda mobile networks kisha click click apn
utaona kuna voda wap na mms bonyeza button ya menu chagua new apn
kwenye connection name andika chochote
kwenye apn andika internet
turn back then activate setting zako ur done
salam wakuu .
nimepokea zawadi ya cm aina ya SAMSUNG galaxy wonder. ni android 2.3.6 cha ajabu haina icon ya market wala play store so siwezi kudownload apps kutoka google . ila whatsapp iliwezekana kwa kufosi. ni kama haijkua registered hivi . kwa mwenye uelewa anisaidie tafadhali nimezoea free apps frm play store so kumis naona kama nimepungukiwa hivi .
Nimekutana na kichina yaani sijajua wapi wananimbia download na wapi wananimbia cancel!
ukieka line ya voda automatic inaji activate wap (badala ya internet) ndio maana umepata hilo tatizo. opera na whatsapp wanakubali wap ila service za google hazikubali kusolve hilo tatizo inabidi utengeneze apn (access point name) ya internet
bonyeza menu then setting then kwenye wireless and network nenda mobile networks kisha click click apn
utaona kuna voda wap na mms bonyeza button ya menu chagua new apn
kwenye connection name andika chochote
kwenye apn andika internet
turn back then activate setting zako ur done