salam wakuu .
nimepokea zawadi ya cm aina ya SAMSUNG galaxy wonder. ni android 2.3.6 cha ajabu haina icon ya market wala play store so siwezi kudownload apps kutoka google . ila whatsapp iliwezekana kwa kufosi. ni kama haijkua registered hivi . kwa mwenye uelewa anisaidie tafadhali nimezoea free apps frm play store so kumis naona kama nimepungukiwa hivi .
nimepokea zawadi ya cm aina ya SAMSUNG galaxy wonder. ni android 2.3.6 cha ajabu haina icon ya market wala play store so siwezi kudownload apps kutoka google . ila whatsapp iliwezekana kwa kufosi. ni kama haijkua registered hivi . kwa mwenye uelewa anisaidie tafadhali nimezoea free apps frm play store so kumis naona kama nimepungukiwa hivi .