Wakuu naombeni msaada wa STS Vending System kuhamisha token kuingiza kwenye sub meter, password tuliyokua tunatumia na user name naona serikali imebadilisha na hawasemi kitu.
Nimefanikiwa kupata msaada lakini ilebya free wameondoa kwa sasa ipo ya kulipoa unapoweka Luku kwenye submetre ambapo wanakata 2% ya kiasi unachonunua kwa kupitia hii link
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.