Niliomba kazi hapo lakini sijajua kampuni ipo wapi
nami ni moja wa walio apply,nimepigiwa simu leo na kuambiwa natakiwa nianze kazi jumatatu ijayo..kama narudia tena kama nitawatumia elfu 80 kwa ajili ya uniform pea mbili maalum kwa hiyo kazi ya customer care....sikufikiria mara mbili kumbe ni wale wa kwetu!
Yani na mimi wameniambia hivyo hivyo ni wezi hap