Msaada anayeijua Tanga Tech

Msaada anayeijua Tanga Tech

Abiola

Member
Joined
May 3, 2013
Posts
22
Reaction score
1
Wana JF naomba msaada kwa waliosoma na wanaosoma Tanga tech a-level kuhusu kitaaluma, mazngira, wanafunzi, walimu na shule kiujumla maana nimechaguliwa kujiunga kidato cha tano mwaka huu...
 
Uta enjoy life hapo

Tanga Tech maarufu kama Tanga school

ilikuwa shule ya kwanza ya secondary ya serikali
ilianzishwa na wajerumani
mwaka 1895...
watu maarufu waliosoma hapo ni pamoja Jakaya Kikwete
Ditipile Mzuzuri na wengine weengi including mimi hapa...lol

Nenda uta enjoy
ukifika omba uwekwe bweni la Simba..huko kona wing moja maarufu inaitwa jamaica corner lol
ukiwekwa bweni la twiga utakuwa ----- lol
warembo wote huko wanaitwa Mbuni
since wana bweni moja tu linaitwa mbuni

go and have fun...
 
nenda dogo iko poa!kwn comb gn?pcb,cbg na pcm ndio nilizoziacha 2010 pale!ila juhudi binafsi zinahitajika sana ili kufaulu,lkn mzingira yanafevour coz ipo krb na town,namapindi kitaa kama kawa,kunamchizi m1 anaitwa ishu boy kwa chemistry a-level mzr!masiku physics yuko poaaaaa!ukifika kakae bweni latembo karibu naparade,uwanjani,DH,namadarasani!hongera kijana kakomae watu tumetoka vzr naza6 zetu pcb!
 
nenda dogo iko poa!kwn comb gn?pcb,cbg na pcm ndio nilizoziacha 2010 pale!ila juhudi binafsi zinahitajika sana ili kufaulu,lkn mzingira yanafevour coz ipo krb na town,namapindi kitaa kama kawa,kunamchizi m1 anaitwa ishu boy kwa chemistry a-level mzr!masiku physics yuko poaaaaa!ukifika kakae bweni latembo karibu naparade,uwanjani,DH,namadarasani!hongera kijana kakomae watu tumetoka vzr naza6 zetu pcb!

wamen2pa pcm bt plan zangu zko pcb bro so ntachange soon nkfka pande hzo. Thanx
 
Wao wanaita People Calculating Mathematicts(PCM)by the way nilikuwa kwenye intake ya kwanza kuingia na mbuni kiungani(1989 to 1992)waheshimiwa wengi(including ME)tulikuwepo hapo,karibu kwenye uheshimiwa ila mbuni iwe marfuk
 
Wao wanaita People Calculating Mathematicts(PCM)by the way nilikuwa kwenye intake ya kwanza kuingia na mbuni kiungani(1989 to 1992)waheshimiwa wengi(including ME)tulikuwepo hapo,karibu kwenye uheshimiwa ila mbuni iwe marfuk

hamna shaka bro! Hao mbuni watanckia bomban 2,full ktabu...
 
Duh ,hapa kuna washkaji wanakuja tunacheza nao PlayStation ,hawalali wanatorokaga, alafu kama unapenda watoto wakali utawapata kiulaini maana hapa michezo yote ya umiseta hufanyika hapo shuleni
 
vp mwalimu kijaz bdo yupo? long tyme sna pale bwen la chui dah n shda..
 
Nimekumbuka sana shule yangu Tanga school.Tembo bweni langu, kuna chui , simba, faru, twiga, mbuni.Mitaa ya Njeka , makororora, sahare nk. Usiku Baikoko mtaani kama kawa. Maticha kama Masiku kichwa sana wa physics amenitoa.Miss sana Tanga school
 
Nimekumbuka sana shule yangu Tanga school.Tembo bweni langu, kuna chui , simba, faru, twiga, mbuni.Mitaa ya Njeka , makororora, sahare nk. Usiku Baikoko mtaani kama kawa. Maticha kama Masiku kichwa sana wa physics amenitoa.Miss sana Tanga school

sio Njeka ni Kwanjeka
 
Back
Top Bottom