nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 4,708
- 7,445
- Thread starter
- #21
aksante mkuuUTI haiwezi kusababisha mtu kuwashwa, huwa na maumivu chini ya kitovu kama ni savere, ikiendelea sana anaweza pata pelvic inflamatory diseases PID,kisha inapelekea mtu kuwa tasa, fungus ndo inatabia ya kuwasha, kwa hiyo huyo dada anafungal infection pia.