Umri wangu 30 ni mwanamke napendwa na huyu kaka lakini kunioa hataki ,tatizo ni mm sina uzazi.
Anataka kuoa mwanamke mwingine lakini kuniacha hataki na kuwa mchepuko sitaki .
Naomba ushauri wenu wauungwana
Lipia kwanza Tangazo kwa Management ya JF.Anaeweza tuoane
Umri wangu 30 ni mwanamke napendwa na huyu kaka lakini kunioa hataki ,tatizo ni mm sina uzazi.
Anataka kuoa mwanamke mwingine lakini kuniacha hataki na kuwa mchepuko sitaki .
Naomba ushauri wenu wauungwana
Huyu ni mwanadamu sio Mungu amin ipo siku utapata mtoto hata usijal kuwa ma aman na mtegemee mungu wakoDoctar ali prove muhimbili
Ndiyo maana nawapenda wanaume wa humu..kimya kimya sisi tunahangaika kuchangia mada wao kimya kimya wamechangamkia fursa na uzi ndio umetelekezwa mzeee subiria mrejesho au ushauri wa kuachikaLipia kwanza Tangazo kwa Management ya JF.
Ungesema unataka wa kugegedana tu mbona ungetupata... hilo la kuolewa tena mmh!
Mie mwenzio chukua maamuzi mapema ni afadhali uache sio uachwe itakuuma sana.Asante mkuu
Mimi ni mdada, miaka 30 nashukuru Mungu nimeajiriwa serikalini, si mrefu simfupi maji ya kunde.
Natafuta mume mwenye sifa zifwatazo.
_Shida ya uzazi,
_Umri 30 _40
_Mwajiriwa au mjasiriamali, mkristo, tayari kwa ndoa na kupima VVU .
Kwa maelezo zaidi PM