Msaada: Anania kweli huyu!

Msaada: Anania kweli huyu!

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,202
Reaction score
25,378
Nipo na jamaa yangu kwa sasa hapa Moshi huwa naongea naye mengi sana, na hata nikiwa napitia habari kupitia jf hasa jioni, jambo moja ambalo limemvutia nimsaidie ni hili;

Anahitaji wife friend ambaye kwa nafasi yake ajitathimini kabla ya kunitafuta mimi as TODAYS ili nimuungamishe na huyu jamaa yangu.

Amenimbia hajali dini bali awe mcha Mungu na mwenye upendo na ukarimu, jambo moja na angalizo aliloniambia na ninaliwakilisha kwako ni hili; ' Ukijifanya kuficha kucha kwa sababu ya kupata nafasi hii, elewa imekula kwako', maana atakumwaga.

Mimi ni mjumbe tu wadau wangu.

kwa niaba ya #Nat.
 
Last edited by a moderator:
Mi sijaelewa kwa kweli msema kweli mpenzi wa Mungu
 
Hvi dume zima unaanza anzaje kuwa kuwadi?
Kwakifupi wewe ni dalali wa mapenzi teh
Kwa akili zako na elimu uliyo nayo sijui ya wapi, unapotumia mtandao wa kijamii unadhani huo mtandao ni sawa na nani?

Si kila unayemuona anatembea ana mawazo kama yako.

Mojawapo ya mfumo ulio duniani ni kutambua hulka ya mtu na kuieshimu.

Wapo wengi na wenye uwezo lakini hawana nafasi kama unayotaka wewe itumike hapa. SOON.
 
Nilipoona neno ANANIA akili yangu ikakimbilia kwenye 'Baibo' lkn huko mbele ya safari nikakutana na kona ya kuelekea kuzimu, kwa kifupi njia haieleweki.

Anyway, Bwana Anania hayuko serious hata kwa anachokisema. Huwezi kusema HUCHAGUI DINI at the same time ukataka mcha Mungu. Dunia ina Mungu na mungus, sasa how come utake muumini wa yeyote kati yao?
 
Huyo jamaa yako hadi kutafuta mchumba/mwenzi anapitia kwa consultant...khaaa!!!

Ndio kusema yupo busy, domo mbigiri, mapozi kilo 900 ama?
 
Kwa akili zako na elimu uliyo nayo sijui ya wapi, unapotumia mtandao wa kijamii unadhani huo mtandao ni sawa na nani?

Si kila unayemuona anatembea ana mawazo kama yako.

Mojawapo ya mfumo ulio duniani ni kutambua hulka ya mtu na kuieshimu.

Wapo wengi na wenye uwezo lakini hawana nafasi kama unayotaka wewe itumike hapa. SOON.
Poa mshenga
 
Back
Top Bottom