Red Flower
New Member
- Apr 15, 2022
- 2
- 1
Jamani NAOMBA MSAADA anayejua minada au magulio makubwa ya kila wiki katika MIKOA ya Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Lindi, Mtwara, Songea, Zanzibar, Manyara nk anitajie
Ahsante mkuuManyara, njoo kiteto kuanzia tarehe 14, 15, 18, 19 na 20. Huwa Kuna minada mikubwa sana. Tanga Kuna mnda upo kibirashi huwa unafanatana na wa kiteto. Karibu Sana mkuuu