josewatano
Member
- Sep 20, 2011
- 65
- 25
Habari zenu wadau, mdau ana degree ya kwanza ya Bachelor of art with Education, specilized in linguistics and kiswahili, kaishafanya kazi mwaka wa tano huu sasa anataka kwenda kufanya masters ya sociology, je atakuwa kachanganya mafile au hakuna tatizo kitaluma
Karibuni kwa ushauri.
Karibuni kwa ushauri.