Taylor king
Senior Member
- Aug 16, 2017
- 102
- 128
Tssf haitambuliwi na wizara ya Elimu jmn kuweni makini msije kujilaumu baadae
Salamu kwenu
Mimi ni mmoja wa waliokosa mkopo heslb
Naomba kuuliza kwa mnufaika yeyote WA mkopo toka heslb anijuze au anishauri niombe au laah
Tssf haitambuliwi na wizara ya Elimu jmn kuweni makini msije kujilaumu baadae
mkuu,Chuo gani wamekukubali kwa barua za hawa jamaa?Na vipi washakuingizia Mzigo?Maana mwenyew nimewatumia janaMe nimekopa tssf na nimekubaliwa kusajiliwa chuo na nishasajiliwa na hizi elimu zetu za afya ada mamilion mengi huko jaribu elfu salasini kuipoteza kwa kupata zaidi sio kesi af kutotanbuliwa na ndalichako kwan benki zinazokopesha zote hua zinamfata azitambue???
uliwapa barua Toka Tssf?Ila angalia hii Serikali dhalimu isije kutubania mpaka huku jamani.MmmhMimi chuoni leo hii peupe wamenisajili kiroho safi,wenye Utomaso subirini A/C zetu zisome mtajua.