Msaada: Ads zinanilia data

Msaada: Ads zinanilia data

Ukiwa una browse search engine au app yoyote nenda settings click no adds
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
ndio hvyo yaani. Au nasema uongo mdau?
 
Wakuu kama kichwa habari kinavyojieleza.


Simu yangu kwasasa ni mwendo wa matangazo ya 1x bet, mara magame naamua kujipumzishia zangu fuvu niingie JF matangazo yanaibuka Data ya mawazo ni mwendo wa kuisha tu GB 1.4 siku moja tu imekata msaada tafadhari simu yangu ni Infinix hot 10i sikumbuki niligusa wapi chanzo cha hilo tatizo.
Tumia
  • Ads blocker application
  • Ads blocker browser
  • Zima notification za kila application unayohisi ina matangazo kwenye settings >>>> Apps
Kawaida kabisa. Application unapakua play store na kutumia bure ila kumbuka hawa madeveloper hupata pesa kupitia ads kwahiyo usijeshangaa unafungua app na kukutana na matangazo.
 
Back
Top Bottom