Elliot Alderson
Member
- Dec 30, 2018
- 49
- 133
Kwema wakuu?
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nina ndugu yangu amechaguliwa Diploma ya Computer Science UDSM, lakini mpaka leo hajapata Admission Letter na joining instructions.
Kwenye majina walisema wanatuma kabla ya tarehe 6 October kwenye email, lakini mpaka leo bado na chuo kinafunguliwa tarehe 28.
Kwenye account hakuna chochote.
Je, kuna ambao wameshatumiwa tayari isije ikawa ni yeye tu.
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nina ndugu yangu amechaguliwa Diploma ya Computer Science UDSM, lakini mpaka leo hajapata Admission Letter na joining instructions.
Kwenye majina walisema wanatuma kabla ya tarehe 6 October kwenye email, lakini mpaka leo bado na chuo kinafunguliwa tarehe 28.
Kwenye account hakuna chochote.
Je, kuna ambao wameshatumiwa tayari isije ikawa ni yeye tu.