Mu7 JF-Expert Member Jun 15, 2013 1,560 1,821 Jun 13, 2023 #1 Waungwana, Salaam! Ninahitaji kumpeleka mwanangu chuo binafsi kwa ajili ya kusomea Computer Science chuo cha SAUT - Mwanza. Kuna mwenye uelewa wa kiwango cha ada kwa mwaka ikoje kwa kozi hii?
Waungwana, Salaam! Ninahitaji kumpeleka mwanangu chuo binafsi kwa ajili ya kusomea Computer Science chuo cha SAUT - Mwanza. Kuna mwenye uelewa wa kiwango cha ada kwa mwaka ikoje kwa kozi hii?
Gily Gru JF-Expert Member Jul 4, 2016 7,802 20,764 Jun 13, 2023 #2 Hiki chuo kina sifa unazotaka hapo?
Mu7 JF-Expert Member Jun 15, 2013 1,560 1,821 Jun 13, 2023 Thread starter #3 Gily said: Hiki chuo kina sifa unazotaka hapo? Click to expand... Ndiyo
raraa reree JF-Expert Member Jul 11, 2015 9,119 26,477 Jun 13, 2023 #4 Huko anaenda kusomeshwa CS ubaoni
Masiya JF-Expert Member Apr 2, 2012 7,578 7,281 Jun 14, 2023 #5 Cheki website ya chuo au prospectus yao Mu7 said: Waungwana, Salaam! Ninahitaji kumpeleka mwanangu chuo binafsi kwa ajili ya kusomea Computer Science chuo cha SAUT - Mwanza. Kuna mwenye uelewa wa kiwango cha ada kwa mwaka ikoje kwa kozi hii? Click to expand...
Cheki website ya chuo au prospectus yao Mu7 said: Waungwana, Salaam! Ninahitaji kumpeleka mwanangu chuo binafsi kwa ajili ya kusomea Computer Science chuo cha SAUT - Mwanza. Kuna mwenye uelewa wa kiwango cha ada kwa mwaka ikoje kwa kozi hii? Click to expand...