Msaada: Action movie

Msaada: Action movie

ukisoma jinsi livyo tengenezwa 90% ya yaliyomo ni real 10% ndiyo CGI tena imetumika kufuta nyaya, kuficha camera. pale wakati wanaenda muokoa yule demu kwenye basi wameharibu more than 40 cars.
kuna ile wanaruka na magari toka kwenye ndege ni kweli yalirushwa bila watu mawili mawili kutoka kwenye ndege tatu tofauti.

Kuna sehem wakat wamekutan ,before chopper kupiga jengo lile. Ukichek mapigo yao Vin alikuw slow ukicompare na yule mshkaji
 
Skin trade, absolution, exodus; gods and kings, fury, November man, prince, equalizer, john wick, kill me three times, teken 3,run all night...anza na hizo mkuu weekend itakua murua ..
 
Samahani mkuu naomba ufafanuzi kidogo nikiona horror au scu-fi au drama ni za namna kama hutojali tafadhali kiongozi

sci-fi ni movies za teknolojia. unaweza ukaona mabunduki ya ajabu humo ambayo kiuhalisia hayapo. magari ya high technology au maroboti.

horror movies hizi ni za kutisha tisha mfano movies za mazombi.

drama hizi kwa kawaida huwa zinahusu maisha ya kawaida, lifestyle ya mtu au watu. Drama za hollywood kama hujui kiingereza unaweza ukasinzia,, ni sawa na mzungu kuangalia bongo movies za kina Ray au JB.. zinahitaji uelewa wa kinachozungumzwa na sio action.
 
sorry man ila link zote hizo nashindwa zinanipeoleka kwenye ma ad kibao
 
Back
Top Bottom