STERLING2014
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 239
- 74
Wadau naomba msaada wenu natumia galaxy j7 dual sim ya 2015... Lkn kwa siku za hv karibuni imekuwa haishiki mtandao wa 4g hata kwenye eneo lenye mtandao huo wa 4g.... Nilijaribu kwa tigo ikashindwa na now nipo kwenye mkoa wenye voda 4g.... Lkn mwanzoni ilikuwa haina shida... Mwenye kujua namna ya kufanya simu yangu hii inase 4g naomba msaada...