Nina staff mwenzangu anasumbuliwa na Cataract kwa miaka kama 7 sasa, jicho moja limeshaenda na maji, na lingine anaona hafifu, juzi kafanyiwa operation ndiyo limezidi kutoona.
Kimsingi ni anaenda kuwa kipofu huku anajiona.
Anyway, Mungu amjalie apone huyu mwana jf.