Mrithi wa John Heche huyu hapa

Huo si upumbavu!! Unaposema huyu hapa maana yaake unamuona! Au ni jini ametoweka sasa una tuuliza tena sisi tunaokusikiliza kama siyo kusoma ulicho andika? BAVICHA wote wanaonekana Zumbukuku kwasababu ya watu kama wewe!!

Acha fujo wewe nilidhani nime edit kichwa cha habari baada ya kubadilisha content. chamuhimu ni kuelewa maudhui ya khabari tuu.
 

ndio maana sijawahi kumsikia ben akihutubia kwenye mkutano wowote wa chadema, nasikia ana kigugumizi.kikali sana, bora aaendelee na kazi yake ya kubeba sumu tu
 
Sifa kuu ni awe na ujasiri wa kumwagia watu tindikali
 
ndio maana sijawahi kumsikia ben akihutubia kwenye mkutano wowote wa chadema, nasikia ana kigugumizi.kikali sana, bora aaendelee na kazi yake ya kubeba sumu tu

well said, huyo ni mbeba sumu tu hana lingine la maana
 
hata huyyu john heche mtajuta kukoswa kijana anayeweza kwenda mbele kwa mwili na akili yake bila kutumia mtandao ama kusubiri wakubwa wa chama wamuoneshe kama huyu kwa kweli heche bado alikuwa jembe sana kwa sasa sijaangalia labda dogo anaitwa naftali
 
cdm hatuna comrade tuna makamanda tu. hivyo mivyeo yako peleka lumumba
 
Tumpe MSALANI aongoze Bavicha sababu naskia wiki ijayo atahamia CHADEMA.
 
Last edited by a moderator:

asante kamanda, umenipa kitu ambacho napaswa kukifanyia utafiti.
 
Nikikumbuka namna John Heche Alivopatikana Naona Akuna Haja Ya Kupanga Km Vijana ndan ya chama (Bavicha_) Nan Ashike kijiti Baada ya HechË Nafikir Mh.Mbowe AtaÀmua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…