Mrithi wa John Heche huyu hapa

Mrithi wa John Heche huyu hapa

Koo Lauma

Senior Member
Joined
Jun 10, 2014
Posts
184
Reaction score
61
Wakuu haswa wale vijana wenzangu, tunaelekea katika chaguzi cha chama chetu pendwa na tumaini la watanzania binafsi naupongeza uongozi wa comrade Heche kwa kuongoza baraza letu kwa kipindi kifupi illa limeleta tija kubwa katika chama na Taifa.

Heche amesha disqualify kuendelea kuomba nafasi hyo tena kwa umri wa Bavicha kumpita Mkono sasa tunahitaji Kijana Makini, Shupavu, mwerevu na anayejua vyema siasa za kitanzania na za kimataifa atakayerithi kijiti hiki.

Je unadhani ni nani atafiti kuliendesha gurudumu hili ambalo Heche ataliachia rasmi trh 28/8/2014?

Je Mwenyekiti ajaye wa Bavicha pamoja na makamu wake unapendekeza awe na sifa zipi?
 
yuko wapi?? nyie machizi tafuteni tiba kabla ya kuposti utumbo.
 
Huu ni utumbo mtupu heading ni tofautina contents!
Mulugo's product ni hatari!
 
chadema inahitaji kijana mfia chama na asiye msaliti .
 
Wakuu haswa wale vijana wenzangu, tunaelekea katika chaguzi cha chama chetu pendwa na tumaini la watanzania binafsi naupongeza uongozi wa comrade Heche kwa kuongoza baraza letu kwa kipindi kifupi illa limeleta tija kubwa katika chama na Taifa.

Heche amesha disqualify kuendelea kuomba nafasi hyo tena kwa umri wa Bavicha kumpita Mkono sasa tunahitaji Kijana Makini, Shupavu, mwerevu na anayejua vyema siasa za kitanzania na za kimataifa atakayerithi kijiti hiki.

Je unadhani ni nani atafiti kuliendesha gurudumu hili ambalo Heche ataliachia rasmi trh 28/8/2014?

Je Mwenyekiti ajaye wa Bavicha pamoja na makamu wake unapendekeza awe na sifa zipi?

Huo si upumbavu!! Unaposema huyu hapa maana yaake unamuona! Au ni jini ametoweka sasa una tuuliza tena sisi tunaokusikiliza kama siyo kusoma ulicho andika? BAVICHA wote wanaonekana Zumbukuku kwasababu ya watu kama wewe!!
 
Mods, Please hii haifai heading na content haviendani! Naomba mtutolee huu ujinga wa watoto wa bavicha hapa!!

cc: · Paw,
PainKiller
 
Alfonce Mawazo itakuwa poa kama umri alio nao ni sahihi. Kama kazidi umri basi Ben wa sa8 ndiye awe mrithi..
 
Nyie Maintarahamwe acheni ujinga si ndo mlipotufikisha hapa. Mbona mnasoma Magazeti ya kibongo?

chamuhimu ni kuelewa contect tuu kisha utiririke.
 
Huo si upumbavu!! Unaposema huyu hapa maana yaake unamuona! Au ni jini ametoweka sasa una tuuliza tena sisi tunaokusikiliza kama siyo kusoma ulicho andika? BAVICHA wote wanaonekana Zumbukuku kwasababu ya watu kama wewe!!

Mkuu hembu cherk ulicho ki quote hapo hujakielewa kwani?
 
Alfonce Mawazo itakuwa poa kama umri alio nao ni sahihi. Kama kazidi umri basi Ben wa sa8 ndiye awe mrithi..


Kwa hapa hata mimi naungana na wewe, Mawazo kama umri unatosha ana fiti, Tatizo lake alikuwa Gamba tuu zamani. Mwenyekt ajaye Tupate mwenye sifa zote km za mawazo na itapendeza zaidi akose sifa moja tuu yakutoka Ugambani.
Tunataka kiongozi akisimama jukwaani anaeleweka BENSAANANE DOMO ZITO MKUU, HAWEZI JUKWAA HATA DAKIKA TANO KWA WANAO MFAHAMU ANA VIDOLE VYEPESI KUANDIKA KWENYE SOCIAL MEDIA TUU. Tukipata Mwenyekiti wa dizain hii hatoishimika na anaowaongoza SINA BIFU NA BEN na ni rafik yng lakini naipenda sana BAVICHA yangu.
 
Back
Top Bottom