Angekuwa siyo mnafiki angeyasema yale alivyokuwa RC.
Mrisho gambo huo ubunge hauwezi ataweza uraisi?
Uraisi siyo kazi ndogo. Kuna jitu limeshazimiwa Betty ya moyo huko na sasa lipo akhera
Hivi cheo cha Urais mbona kina najisiwa hivi? Mara kuna dude litazomoka huko na kudai kuwa DAUDI ALBERT BASHITE nae anafaa kuwa presdaa mara Mnyeti hivi kweli mpo serious?
Angekuwa siyo mnafiki angeyasema yale alivyokuwa RC.
Mrisho gambo huo ubunge hauwezi ataweza uraisi?
Uraisi siyo kazi ndogo. Kuna jitu limeshazimiwa Betty ya moyo huko na sasa lipo akhera