PreGE2025 Mrisho Gambo: Mimi na yeye nani ameumiza wengi?

PreGE2025 Mrisho Gambo: Mimi na yeye nani ameumiza wengi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Ukishakuwa CCM automatically unakuwa ni mchafu kwa sababu umejiunga na kitu kichafu...
 
"Kuna mambo mengine sikutaka kuyasema kwasababu nina uwezo mkubwa sana wa kupuuza lakini nimechokonolewa sana na baadhi ya watu kiasi ambacho inawezekana kuna baadhi ya watu mkachanganywa. Kwahiyo kwasababu nimelazimishwa, mengi nitapuuza, nitasema walau moja, naomba mnikubalie.

Kuna mtu mmoja ambaye amekuwa akijinadi siku nyingi anasema wakati anaenda kwenye SendOff alitumia Koti langu mimi mtoto wa muuza uji. Lakini leo hii anadiriki kufikia kusimama mahali anasema eti Gambo ameumiza watu wengi, leo nataka niwaulize hivi mimi na yeye nani ameumiza watu wengi katika nchi hii? hivi mnapajua Dar Es salaam ninyi? nendeni mkatafute habari zake kule hata kumsalimia mtaogopa.

Nataka popote alipo mumuambie mikono yangu ni safi!sima changamoto yoyote na sijamuumiza yeyote badala yake nimesaidia watu wengi sana kote nilipopita. Nimesaidia watu wenye ulemavu, tumewapatia viti mbalimbali kwaajili ya kuwasaidia, tumewasaidia watu kupata miguu bandia ambao hawakutarajia kupata ulemavu, tumesaidia vituo vya yatima, tumesaidia kila mahali. Mwambieni hayo ni matendo mema hakuna hata moja la kumuumiza mtu."

Na nimeamua nisema kwasababu amesema eti nenda kwa wananchi wa Arusha, nenda kawaombe radhi, wananchi wa Arusha nimewahi kuwakosea?"- Mrisho Gambo, Mbunge wa Arusha Mjini.
View attachment 3330211

Chanzo: Millard Ayo
Safi sana !
Ngoja Tusubiri tuone na yeye ataleta nyuklia gani au ndio Gambo ameshajitengenezea Deterrence kwa Adui zake ??!!

Time will tell ! Hii ngoma bado mbichi 😳 !
 
Gambo mbona anakonda uso tu maji yanazidi unga wanapoelekea hawa watu bado kutekana tu
 
"Kuna mambo mengine sikutaka kuyasema kwasababu nina uwezo mkubwa sana wa kupuuza lakini nimechokonolewa sana na baadhi ya watu kiasi ambacho inawezekana kuna baadhi ya watu mkachanganywa. Kwahiyo kwasababu nimelazimishwa, mengi nitapuuza, nitasema walau moja, naomba mnikubalie.

Kuna mtu mmoja ambaye amekuwa akijinadi siku nyingi anasema wakati anaenda kwenye SendOff alitumia Koti langu mimi mtoto wa muuza uji. Lakini leo hii anadiriki kufikia kusimama mahali anasema eti Gambo ameumiza watu wengi, leo nataka niwaulize hivi mimi na yeye nani ameumiza watu wengi katika nchi hii? hivi mnapajua Dar Es salaam ninyi? nendeni mkatafute habari zake kule hata kumsalimia mtaogopa.

Nataka popote alipo mumuambie mikono yangu ni safi!sima changamoto yoyote na sijamuumiza yeyote badala yake nimesaidia watu wengi sana kote nilipopita. Nimesaidia watu wenye ulemavu, tumewapatia viti mbalimbali kwaajili ya kuwasaidia, tumewasaidia watu kupata miguu bandia ambao hawakutarajia kupata ulemavu, tumesaidia vituo vya yatima, tumesaidia kila mahali. Mwambieni hayo ni matendo mema hakuna hata moja la kumuumiza mtu."

Na nimeamua nisema kwasababu amesema eti nenda kwa wananchi wa Arusha, nenda kawaombe radhi, wananchi wa Arusha nimewahi kuwakosea?"- Mrisho Gambo, Mbunge wa Arusha Mjini.

View attachment 3330260
Chama Chao kina watu wazima wenye akili na weledi kama wanavyosema, mpaka leo wanashindwa kutatua hii changamoto ya vijana wao. Matokeo yake kila siku malalamiko mapya!!
 
"Kuna mambo mengine sikutaka kuyasema kwasababu nina uwezo mkubwa sana wa kupuuza lakini nimechokonolewa sana na baadhi ya watu kiasi ambacho inawezekana kuna baadhi ya watu mkachanganywa. Kwahiyo kwasababu nimelazimishwa, mengi nitapuuza, nitasema walau moja, naomba mnikubalie.

Kuna mtu mmoja ambaye amekuwa akijinadi siku nyingi anasema wakati anaenda kwenye SendOff alitumia Koti langu mimi mtoto wa muuza uji. Lakini leo hii anadiriki kufikia kusimama mahali anasema eti Gambo ameumiza watu wengi, leo nataka niwaulize hivi mimi na yeye nani ameumiza watu wengi katika nchi hii? hivi mnapajua Dar Es salaam ninyi? nendeni mkatafute habari zake kule hata kumsalimia mtaogopa.

Nataka popote alipo mumuambie mikono yangu ni safi!sima changamoto yoyote na sijamuumiza yeyote badala yake nimesaidia watu wengi sana kote nilipopita. Nimesaidia watu wenye ulemavu, tumewapatia viti mbalimbali kwaajili ya kuwasaidia, tumewasaidia watu kupata miguu bandia ambao hawakutarajia kupata ulemavu, tumesaidia vituo vya yatima, tumesaidia kila mahali. Mwambieni hayo ni matendo mema hakuna hata moja la kumuumiza mtu."

Na nimeamua nisema kwasababu amesema eti nenda kwa wananchi wa Arusha, nenda kawaombe radhi, wananchi wa Arusha nimewahi kuwakosea?"- Mrisho Gambo, Mbunge wa Arusha Mjini.

View attachment 3330260
Upepo umeanza kuvuma,nyeti za kuku zimeanza kuonekana
 
Kama Makonda alishindwa kumuondoa Ndungulile Kigamboni,sidhani kama ataweza kwa Gambo.
Arusha ni ngumu sana kwake.
Ya Kigamboni kama hujui nani alisimamia lile jambo, basi hujui mizengwe ya chama chao.
 
Back
Top Bottom