Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo mkoani Arusha wamemshukuru Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuhimiza sera na kuweka mazingira wezeshi ya kufanyia biashara nchini.
Wafanyabiashara hao wamesema kuwa Mbunge Gambo amekuwa akiwawakilisha vyema bungeni kwa kueleza na kupambania masilahi yao hivyo kumtakia yeye na Rais Samia heri katika kuwatumikia Watanzania.
Wafanyabiashara hao wamesema kuwa Mbunge Gambo amekuwa akiwawakilisha vyema bungeni kwa kueleza na kupambania masilahi yao hivyo kumtakia yeye na Rais Samia heri katika kuwatumikia Watanzania.