gambo sura ya mwisho, mnaagia wapi?Buriani Mrisho Gambo!
Hiyo ndio kauli pekee inayomstahili Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo.
Baada ya "kukusoma" upepo wa SSH kwamba 2025 hakuna mbeleko, ameanza kutapatapa na kumlaumu Kila anayemuona mbele yake.
Sasa analaumu hata maafisa wa chama ambao walikesha usiku na mchana kumpigia "debe". Kwa maneno mengine, Gambo amekitukana chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha.
Namshauri aanze ziara ya kuaga, na Arusha inamtakia Kila la kheri huko aendako.
Mkpno wa Kayafa ulimpitisha....Kwani 2020 alishinda?
.Aliyemtangaza kuwa Mbunge amesafariki,
Gambo anajua kabisa kuwa wananchi wa Arusha awawezi kumchagua na hawakumchagua.
Gambo atashinda kwa kishindo Arusha...Hakuna wa kumtoa kwenye ubungeBuriani Mrisho Gambo!
Hiyo ndio kauli pekee inayomstahili Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo.
Baada ya "kukusoma" upepo wa SSH kwamba 2025 hakuna mbeleko, ameanza kutapatapa na kumlaumu Kila anayemuona mbele yake.
Sasa analaumu hata maafisa wa chama ambao walikesha usiku na mchana kumpigia "debe". Kwa maneno mengine, Gambo amekitukana chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha.
Namshauri aanze ziara ya kuaga, na Arusha inamtakia Kila la kheri huko aendako.
Dola ya diktetaMkpno wa Kayafa ulimpitisha....
CCM 85% waanze kuanga mpk na Mwenyekiti waoMrisho Gambo hata afanye miujiza gani hawezi kurudia ubunge wa Arusha mjini. Kile kiti ni cha Godbless Lema. Mtakuja kuniambia. Uchaguzi wa 2020 haukuwa uchaguzi wa haki. Hata kule Momba yule jamaa liyepata kura 5 na baadaye akaja kuwa Mbunge naye aanze kuaga.
Hata mpita njia tu anaelewa haliitaji hata mchoroAliyemtangaza kuwa Mbunge amesafariki,
Gambo anajua kabisa kuwa wananchi wa Arusha awawezi kumchagua na hawakumchagua.
Hakuna na bado ajatokea bado wa kumtoa mrisho gambo Arusha nyie endeleeni kupiga kelele Mrisho tunaye mpaka 2030Buriani Mrisho Gambo!
Hiyo ndio kauli pekee inayomstahili Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo.
Baada ya "kukusoma" upepo wa SSH kwamba 2025 hakuna mbeleko, ameanza kutapatapa na kumlaumu Kila anayemuona mbele yake.
Sasa analaumu hata maafisa wa chama ambao walikesha usiku na mchana kumpigia "debe". Kwa maneno mengine, Gambo amekitukana chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha.
Namshauri aanze ziara ya kuaga, na Arusha inamtakia Kila la kheri huko aendako.
Mtu mwenyewe amekuja Arusha akiwa mkubwaBuriani Mrisho Gambo!
Hiyo ndio kauli pekee inayomstahili Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo.
Baada ya "kukusoma" upepo wa SSH kwamba 2025 hakuna mbeleko, ameanza kutapatapa na kumlaumu Kila anayemuona mbele yake.
Sasa analaumu hata maafisa wa chama ambao walikesha usiku na mchana kumpigia "debe". Kwa maneno mengine, Gambo amekitukana chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha.
Namshauri aanze ziara ya kuaga, na Arusha inamtakia Kila la kheri huko aendako.